Wednesday, April 23, 2014

HASIRA HASARA KATIKA MAPENZI

 
UNAAMKA umenuna, unaoga umenuna, unavaa umenuna, unakwenda kazini umenuna. Jioni unarudi umenuna! Inasaidia nini? Kama una dukuduku na mke au mumeo, mwambie. Zungumza naye. Unanununa nini? Haitakusaidia kitu. Njia njema zaidi ya kumaliza matatizo ndani ya nyumba ni mazungumzo. Chukua hili kutoka kwangu.  JOSEPH SHALUWA

No comments:

Post a Comment